Wednesday 6 June 2007

Tamko Rasmi toka Jumuiya ya Watanzani UK


Tamko rasmi limetoka toka Jumuiya ya watanzania, kufuatia kikao cha dharura kilichofanyika huko London, Maandamano rasmi yalikuwa yameandaliwa kupinga zoezi zima la ukaguzi gharamu, mnamo siku ya Alhamisi kuelekea ubalozini.

Kutokana na uamuzi wa pamoja uliopitishwa na wajumbe wa Umoja huo, Jumuiya imeamua uamuzi wa kusitisha maandamano hayo kwa muda, mpaka hapo serikali itakapotoa tamko rasmi juu ya hili saga.

Haya twalisubiri hilo TAMKO!

Soma maelezo zaidi toka blog ya Said Yakub

No comments: