Ni muda wa wiki kadhaa sasa tangu malalamiko yetu na maombi yetu hayajatizamwa au kujibiwa na TBS. Hivyo basi tunaomba wote tupeleke malalamiko yetu kwenye website ya magazeti ya Serikali kama sehemu ya kufikisha ujumbe wetu muhimu kwa wanaohusika na kupata mawazo zaidi ni vipi hili swala litaweza kutatuliwa.
Magazeti ya Serikali na binafsi.
Habari Tanzania
Uhuru
Daily News
Majira
ippmedia
Chama cha upinzani na Chama Tawala
Chadema
CCM
Link zote kwa hisani ya haki-hakingowi
Tuesday, 5 June 2007
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment