Tuesday 5 June 2007

Serikali lazima itambue Malalamiko Yetu.

Ni muda wa wiki kadhaa sasa tangu malalamiko yetu na maombi yetu hayajatizamwa au kujibiwa na TBS. Hivyo basi tunaomba wote tupeleke malalamiko yetu kwenye website ya magazeti ya Serikali kama sehemu ya kufikisha ujumbe wetu muhimu kwa wanaohusika na kupata mawazo zaidi ni vipi hili swala litaweza kutatuliwa.


Magazeti ya Serikali na binafsi.
Habari Tanzania
Uhuru
Daily News
Majira
ippmedia


Chama cha upinzani na Chama Tawala
Chadema
CCM

Link zote kwa hisani ya haki-hakingowi

No comments: