Monday 4 June 2007

The Public Ceremony


Hii ndio sherehe maalum, ambayo ilifanywa na hawa vimbwanga vya serikali - TBS na hii kampuni maridadi?? inayoitwa WTM utility. Inanvyosemakana hivi sasa kampuni ya WTM utility wana run kwa cover, wana haha na kushindwa kufahamu ni kitu gani cha kufanya baada ya wananchi wengi walio Tanzania, UK na nchi nyingine za ughaibuni kuweza kuwachambua na kufahamu undani na usiri wao.

Hivi sasa wana distorted public image ambapo kampuni ya WTM inashindwa kuelewa ni vipi wataweza kutoka katika vumbi hili la wananchi wakereketwa.

Tunakupeni pongezi waungwana na wadau wa Tanzania, UK na nchi nyingine kwa umakini na umaridadi wao, kuona kwamba akili za wakubwa wa TBS ziko kwenye sahani ya mtee na tembo badala ya kuwa kwenye uteo wa maarifa yao.

Tunahakikishia kwamba hili halitokwisha hapa, tutaliendeleza mpaka hii deal ifutishe haraka sana.

No comments: